Thursday, January 24, 2008

WASOMI WETU NA MAADILI YA MTANZANIA

NACHUKUA NAFASI HII ADHIMU KUMSHUKURU YEHOVA KWA KUNIFIKISHA HAPA NILIPO, NI SIFA ZAKE POMONI, NA PIA KUWATAKIA KHERI TENGAMAVU WATANZANIA WOTE KWA MWAKA 2008. MOYO UNANISHAWISHI NIYASEME YALIYO NA UKWELI, NANYI PIA NAOMBA MITAZAMO YENU. KWA HAKIKA MAADILI YA MTANZANIA YAMEHARIBIWA NA YANAENDELEA KUHARIBIWA NA TABAKA LINALOJIITA WASOMI , NIMEJARIBU KUBWABWASA KITUNDUIZI NA NIMEGUNDUA MAMBO MBALIMBALI KWA HAKIKA NANYI MTAWEZA KUTEKENYEKA HISIA ZENU NA MKANIPATIA MAWAZO YALIYO BAINIFU.

HOJA ZANGU NI:

UTOAJI WA MIMBA KWA WASICHANA NA WANAWAKE , WASOMI WETU WANAHUSIKA NA HAYA NI MAADILI MABAYA YANAYOSABABISHWA NA HAWA WASOMI.

SUALA LA UFISADI KWA BAADHI YA VIONGOZI WETU NALO PIA WASOMI WETU WANAHUSIKA KWA MAANA VIONGOZI NI HAOHAO WASOMI. JE HAYO SI MAADILI MABAYA?


SUALA LA RUSHWA KWENYE SEKTA ZA KIJAMII NALO PIA WASOMI WETU WANAHUSIKA.


UTUMIAJI WA VILEVI HASA MADAWA YA KULEVYA WASOMI WETU WANABIDI WAULIZWE NA WAWAJIBIKE KWA HILO.

WIZI WA MITIHANI NALO PIA LINASABABISHWA NA UWEPO WA WASOMI WETU,JE ELIMU ITATUKUMBOA KIUCHUMI?


MAVAZI YALIYO NUSU UCHI NA PENGINE UCHI KABISA KWA BAADHI YA DADA ZETU KATIKA VYUO VYETU VIKUU NALO PIA WASOMI WETU WANAHUSIKA NA NDIO CHANZO HALISI CHA UPOTEVU WA UTU, HESHIMA NA MAADILI KWA MTANZANIA.


MATUMIZI MABOVU YA NGAMIZI (COMPUTER), HASA WANAOPENDA KUANGALIA PICHA ZA NGONO, HAPA NASEMA WAZI WAZI KWA MAANA WASOMI WENGI NDIO WANAOHUSIKA NA HILI HASA WANAFUNZI WA SEKONDARI HADI VYUONI.


KUKOSEKANA KWA AMANI, KUSHUKA KWA UCHUMI WETU NI WASOMI HAOHAO NDIO WANAHUSIKA.JE TUTAFIKA?


MWISHO, NAPENDA KUAMINI WASOMI WENGI WANAANZA KUBADILIKA WAKIWA VYUO VIKUU AMBAPO KUNAPELEKEA KUJITOKEZA KWA MAADILI MABAYA MIONGONI MWA JAMII YETU YA TANZANIA,JARIBU KUMUANGALIA MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHOCHOTE, KABLA HAJAENDA HUKO ALIKUWA VIPI? NA BAADA YA KWENDAYUPO VIPI?NA ANAPOMALIZA CHUO ANAKUWA VIPI?


HAYA YOTE NILIPATA KUYAONA KATIKA VYUO VIKUU MBALI MBALI NILIVYOPATA KUVITEMBELEA HAPA NCHINI, AMBAPO KILA KUKICHA VINAZIDI KUONGEZEKA. NATUMAINI KWA DHATI YAKE NIMEWEZA KUWATEKENYA NANYI PIA MMETEKENYEKA VYA KUTOSHA.

HAWA NDIO WASOMI WETU WA TANZANIA

MTEGO HUNASA WOTE WALIOKUEMO NA WASIOKUWEMO

Hapo zamani za kale palikuwepo na panya, kuku, , mbuzi na ng’ombe. Panya akawalalamikia wenzake, akaanza na kuku akisema, “Hapa kijijini tulipo kuna mtego unawamaliza panya sisi akina panya tunakwisha, tusaidieni.” Lakini jibu la kuku lilikuwa hivi, “Hilo halinihusu.” Panya hakukata tamaa bali alimwendea mbuzi na kumpa kilio kilekile. Cha ajabu jibu la mbuzi lilikuwa hivi, “sina nafasi na mambo madogo kama hayo.” Panya hakuchoka, alimwendea ng’ombe na kumpa hoja ileile. Jibu la ng’ombe lilikuwa, “Nenda kafie mbali na siku nyingine usinieleze upuuzi kama huo''
Ikafika siku, katika sehemu wanapoishi wote panya, kuku, mbuzi, na ng’ombe, akapita nyoka na kunasa kwenye mtego na kotofanikiwa kutoka. Huku akidhani ni panya, mama mwenye nyumba akapeleka mkono kwenye mtego. Lahaula! Nyoka yule mwenye sumu akamng’ata na mama yule ghafla akaugua sana. Katika kufanya matibabu ikaonekana mgonjwa anahitaji supu na supu ilioonekana nzuri kw mgonjwa ni supu ya kuku. Kuku akachinjwa yuleyule aliyesema mtego haumuhusu. Mama yule hakupata ahueni hivyo akaenda kwenye matibabu ya pesa nyingi. Mbuzi akauzwa ili pesa ipatikane. Aliyemnunua mbuzi ni mchoma nyama na mpika supu, mara baada ya kumnunua alimchinja mbuzi yule kwa ajili ya supu na mishikaki na ni yule yule mbuzi alisema hana nafasi na mambo madogo kama mtego wa panya. Hatimaye mama yule alifariki dunia na watu wengi walikwenda kwenye msiba. Hivyoikaamuriwa ng’ombe achinjwe kwa ajili ya kitoweo. Ng’ombe alichinjwa na ni yuleyule ambaye hataki kuelezwa upuuzi kama mtego wa panya.


JAMANI SAIDIANENI KWENYE SHIDA, RAHA NA MATATIZO.

TUWE MAKINI LA SIVYO TUTAANGAMIA



My prayer is that we are able to communicate this message to as many people as possible. Be it our brothers our sisters our own children the message MUST be passed on without any reservation "hebu chukua control ya maisha yako mwenyewe" and even for those around you.

Take courage and do what you are suppose to do in your community.

During the aids seminar attend last week, the emphasy was "speak out" without fear and God will bless you.

The Killer "TODAY" is not guns, drugs, or starvation but IT`S STD`S (SEXUALLY TRANSMITTED DISEASES) AND IT`S LEADER, AIDS.


*TAKE THE AIDS & STD QUIZ*

1.DO YOU LIKE TO HAVE UNSAFE SEX COZ YOU CLAIM THAT IT FEELS BETTER?


2.DO YOU HAVE SEX WITH ANY OR EVERY BODY COZ HE OR SHE LOOKS GOOD AS HELL?

3.DO YOU LIKE GIVING ORAL SEX WITHOUT CARING?

IF YOU ANSWERED YES TO ANY OF THESE ? THEN YOU NEED TO GET TESTED FOR STD`S AND AIDS COZ THERE IS A HIGH CHANCE YOU ARE INFECTED.

Welcome To Reality!!

Human immunodeficiency virus (HIV). HIV is the virus that causes AIDS (acquired immunodeficiency syndrome). It weakens your body's ability to fight off disease. As your body's immune system weakens, illnesses begin to develop until you can no longer fight them off. Symptoms may take years to develop and may include unusual infections, unexplained fatigue, night sweats and weight loss. Herpes. Symptoms start with tingling or itching around your genitals. Small blisters may form in the area and then pop open. When this happens, you might feel burning, especially when urinating. The sores then turn to scabs. During the first outbreak, you might have swollen glands, fever and body aches. But some people don't have such obvious symptoms. Outbreaks may occur for the rest of your life, but usually become less frequent and less painful with time.

Syphilis. Early signs include a chancre (a painless, red sore). The sores may appear where you were touched during sex, including your genitals, anus, tongue and throat. The glands near the chancre may swell. A few months later, you may have a fever,sore throat, and headache, not feel hungry or have joint pain. A scaly rash may appear on the palms of your hands and the soles of your feet. After these symptoms pass, you may not have any symptoms for a number of years. When the symptoms return, the infections can affect the brain, spinal cord, and skin and bone. Gonorrhea and chlamydia are both bacteria. The symptoms of gonorrhea and chlamydia are very similar. Men and women often complain of a discharge, frequent urination, or burning when they urinate. In gonorrhea the discharge is often white, in chlamydia the discharge is usually clear. Very often people may not have any symptoms! Both gonorrhea and chlamydia are spread by coming in contact with the discharge. If a woman is not treated for either of these diseases, it could lead to a severe infection in her reproductive organs which could cause infertility. Genital warts are caused by a virus called the Human Papilloma Virus. The warts can be removed, but the person will have the virus for the rest of their life. It is very common for the warts to reappear after they have been removed. This disease is spread by coming in contact with the wart, but often the warts cannotbe seen. Genital warts can have very different appearances.


Hepatitis B.speards through sexual contact. Symptoms may include muscle aches, fever, tiredness, loss of appetite, headache and dizziness. As the disease worsens, you may have dark urine, loose, light-coloured stools, yellow eyes and skin, and tenderness in the liver area (just below the ribs on the right side). Hepatitis B can be fatal if it leads to liver failure or liver cancer.

AS FOR ANAL SEX!!!!


ORAL SEX!!!

FOR FEMALES WHO HAVE SEX WITHOUTA CONDOM!!

FOR MALES WHO LIKE TOHAVE SEX WITHOUT A CONDOM!!!!

ANAL SEX!!!

PROTECT YOURSELF OR DIE!!

*A Special Note*

I create this Page in the "Hopes" and an "Attempt" to save some lives..Brotha`s and Sista`s... Our People are dying and the sad part about it is you are doing it to yourself by not being RESPONSIBLE...
Practice Safe Sex or NO Sex; it`s a Life saver Decision!


VIJANA TUWE MSTARI WA MBELE.